Jumamosi, 9 Septemba 2017

Wasiliana Nasi | Kanisa la Mwenyezi Mungu



Wasiliana Nasi | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Tunawakaribisha wale wanaotafuta kwa ukweli na kupeleleza njia ya ukweli wapige nambari za injili zifuatazo:
Mwenyezi Mungu, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Wasiliana Nasi | Kanisa la Mwenyezi Mungu


    Umeme wa MasharikiKanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni