Ijumaa, 20 Aprili 2018

Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu | Wayahudi Wakienda Uhamishoni Ughaibuni na Injili ya Ufalme wa Mbinguni Ikienezwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili,

Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu | Wayahudi Wakienda Uhamishoni Ughaibuni na Injili ya Ufalme wa Mbinguni Ikienezwa

Katika mwaka wa 70 BK,miaka thelathini na saba baada ya Bwana Yesu kufufuliwa na kupaa mbinguni, jeshi la Kirumi liliuteka Yerusalemu.Na watu wa Kiyahudi waliotawanyika walizurura dunia baada ya kufukuzwa nje ya Israeli.Ingawa walikuwa wamepoteza nchi yao,walichukua pamoja nao injili ya Bwana Yesu ya ufalme wa mbinguni iliyokuwa imezuiliwa Uyahudini na kuieneza kwa kila pembe ya dunia.
Umeme wa MasharikiKanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni